INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, March 3, 2014

WEMA SEPETU AFANYA SHINDANO LA KUSAKA VIPAJI VYA KUIGIZA KWA WATOTO ENEO LA LEADERS JIJINI DAR LEO



Msanii wa Bongo Movie, Wema Sepetu na pia alikuwa ni jaji wa shindano la kusaka vipaji kwa watoto waliokuwa na umri kuanzia miaka minne(4) mpaka kumi na tano (15) akizungumza na mshiriki wa shindano hilo la kusaka vipaji kwa wanaojua kuigiza. Shindano hili limefanyika leo kwenye viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam na kuwapata watoto watatu waliokuwa wanaitajika.

Jaji Wema Sepetu akiwa na Jaji mwenzake Aunt Ezekiel walipokuwa wanawafanyia usahili watoto waliofika kwenye shindano la kusaka vipaji vya watoto wanaoweza kuigiza.

Msanii wa Bongo Movie, Wema Sepetu akicheza muziki na mmoja wa washiriki wa shindano la kusaka vipaji lililofanyika leo kwenye viwanja vya Leaders.


ENDELEA KUSOMA HABARI HII KWA KUBOFYA HAPA CHINI

Director wa shindano la kusaka vipaji, Adam akizungumza jambo

Msanii wa Bongo movie na aliyekuwa Jaji, Wema Sepetu akizungumza na mtoto aliyekuwa anashiriki kwenye shindano la kusaka vipaji kwa watoto wenye miaka minne mpaka miaka 14.

Baadi ya washiriki waliofika wakiwa na wazazi wao kwenye shindano la kusaka vipaji vya watoto wanaojua kuigiza.

Mmoja wa watoto akiigiza kwa kulia mbele ya majaji (hawapo Pichani) katika shindano la kusaka vipaji vya kuigiza lililofanyika leo kwenye viwanja vya leaders Club.


Msanii wa bongo movie akiiigiza na mmoja wa washiriki wa shindano hilo la kusaka vipaji vya watoto kwani alileta hisia kali kwa kuigiza vizuri

Palikuwa hapatoshi kwenye Stage maana watoto walikuwa wanafanya ya kwao


Msanii wa Bongo Movie, Aunt Ezekiel akiigiza na mmoja wa watoto waliokuwa kwenye shindano la kusaka vipaji.


Nae Adam (Kushoto) akuwa mbali maana hata yeye aliamua kuigiza na mmoja wa washiriki waliofika kwenye shindano hili

Wema Sepetu akiigiza na mmoja wa washiriki wa shindano la kusaka vipaji vya kuigiza

Baadhi ya washiriki wakiwa na wazazi wao




Hawa ndio watoto waliofanikiwa kuingia nusu fainali

Hawa watoto watatu ndio waliofanikiwa kushinda shindano hili mbalo liikuwa linahitaji watoto watatu

Sunday, March 2, 2014

KWANINI UKOSE TAMASHA HILI SIKU YA LEO..MESS JACOB CHENGULA KUZINDUA ALBAMU YAKE YA MUNGU HABADILIKI UBUNGO PLAZA

Jumapili ya leo ni balaa katika ukumbi wa kujidai UBUNGO PLAZA. Watu wa Mungu kukusanyika pamoja kumtukuza Mungu ambapo Mess Jacob Chengula atakuwa anazindua albamu yake ya Mungu Habadiliki. Njoo uone kazi ya Mungu na utabarikiwa sana na uimbaji wa leo

MHUSIKA WA TAMASHA
 Mess Jacob Chengula wa Mungu Habadiliki

ALBAMU INAYOZINDULIWA
Albamu ya Mungu Habadiliki ya Mess Jacob Chengula

ENEO LA UZINDUZI NI UBUNGO PLAZA

Katika hotel ya Blue Pearl

MGENI RASMI WA TAMASHA HILI

Mgeni rasmi ni Naibu Waziri wa mawasiliano Tanzania Mh Januari Makamba

WAIMBAJI WATAKAIMBA SIKU YA LEO JUMAPILI UBUNGO PLAZA

Rose Muhando

Masanja Mkandamizaji

Atosha Kissava

Bony Mwaitege

Upendo Nkone

Silas Mbise

Neema Gasper

Edson Mwasabwite

Madamu Ruti

Faraja Ntaboba

Bahati Bukuku

Mwanamapinduzi

Stella Joel


Enock

Miriamu Lukindo

Joshua Makondeko

VIINGILIO
VIP



VITI VYA KAWAIDA


WATOTO


TANGAZO LIMETENGENEZWA NA RUMAFRICA



Tembelea
www.messchengula.blogspot.com
www.rumaafrica.blogspot.com

FULSA KWENU MASHABIKI WA WEMA SEPETU..!! TAZAMA ALICHOKITANGAZA HAPA..!!

Mlete mwanao mwenye kipaji cha kuigiza acheze na Wema Sepetu, Aunt Ezekiel na Hemed Suleyman kwenye Movie mpya ya FAMILY..


Saturday, March 1, 2014

ILE FILAMU MLIYOKUWA MKISUBIRI YA JICHO LANGU ITAKUWA SOKONI TAREHE 31.03.2014. JIPATIE NAKALA YAKO

Anza mwezi Aprili na burudani kupitia  filamu mpya ya JICHO LANGU kutoka katika kampuni ya J-Film 4 Life. Tarehe 31.03.2014 ikifika jisogeze taratibu katika duka lililo karibu nawe ujipatie nakala yako ya JICHO LANGU.Ndani ya filamu hii utajifunza mengi kupitia mwigizaji maarufu nchini Tanzania Jennifer Kyaka (ODAMA) na wasanii wenzake. Hakika JICHO LANGU itakufungua mambo mengi ambayo ulikuwa hujui na hujawahi kuyaona yakitokea katika jamii yetu.

Saturday, February 22, 2014

WATU WAMUUA MCHEKESHAJI KING MAJUTO ANGALI HAI....HUU HAPA USHAIDI

JAMANI tunaombwa tunapotumiwa messege tujifunze kuisoma mpaka mwisho na sio kusoma juu tu nakuanza kuwapigia watu simu kuwapa habari zisizo za kweli.


Hivi karibuni kumekuwa na uzushi kuwa Msanii nguli wa vichekesho hapa nchini mzee King Majuto eti amefariki, Kwakweli sisi wasanii tulipata tabu sana kwa kupigiwa simu na kuulizwa eti kuna nini kimetokea huko?.. Mzee Majuto yupo?.. Mbona tunasikia kafa? Ukimuuliza mtu nani kakwambia eti nimetumiwa messege?.. Jamani tumechoka na uzushi huu jamani kwanza mzee majuto ni msanii mkubwa haiwezekani akafa ikapita wiki TV na Radio zisitangaze eti messege ndio ziungurume tuuuuuuuu...! tena kibaya zaidi messege yenyewe imetungwa na mtu tu hamna cha filamu ya majuto yenye matukio hayo wala nini.. HEBU cheki upuuzi wenyewe huu hapa chini..





King Majuto

Hamza King Majuto

MTOTO wa Mzee King Majuto ameongea kwa uchungu sana na kwa hasira sana kupitia kitendo hicho cha watu wanaoutumia muda wao kuandaa messege za ajabu za kuwazushia watu kifo aliiambia masainyotambofu kuwa swala la baba yake kuzushiwa kifo kwa kisingizio kwamba matukio hayo ni katika filamu mpya ya King Majuto huo ni uzushu mtupu.

Aliongeza kusema kuwa filamu za Baba yake zilizopo mbioni kutoka niWHY THIS ROOM, CHUNGU KIMOJA, RCO n.k. Hio iliyoandikwa katika messege ya kumzushia Baba yake kifo yeye haitambui kabisa ukweli ndio huo na Mzee Majuto yuko hai na afya nyema anaendelea na shughuli zake za sanaa kama kawaida.
HII HAPA CHINI NI MESSEGE YA MTOTO WA MAJUTO ALIOMTUMIA MWANDISHI WA WEBSITE YA Masai Nyotambofu.




Masainyotambofu

Wednesday, January 22, 2014

ENTERTAINER SET FREE FROM SMOKING AND DRINKING

Nigerian popular comedian Owen Eru, commonly known as Owen Tee, came with his wife to The SCOAN to testify of God’s miraculous deliverance through the medium of the Anointing Water. He testified that he had been living a life of smoking and alcoholism, drinking up to two crates of beer a day. He spent so much money on the two vices that he was not able to save any to afford a wedding. As a consequence, his wife’s relatives were hesitant at the idea of allowing their daughter to marry him. His wife, then his girlfriend, tried to talk him out of the two bad habits, but failed. He also tried on his own to stop through prayer and fasting but the moment he broke his fasting, he would find himself perched on the stool, drinking and smoking.


COMEDIAN OWEN TEE & FAMILY
Desperate to save their relationship and her future husband’s life, Eru’s girlfriend came to The SCOAN and received the Anointing Water. She took it home and told him that they should pray together in Jesus’ name for God’s breakthrough in their lives. After ministering the Anointing Water in prayer, they both noticed a change in their lives. Mr Eru did not smoke the following day. When he remembered that a day had passed without even a single stick, he decided to try drinking beer to see what would happen. To his surprise, the very smell and taste of alcohol suddenly became awful and disgusting. His urge for alcohol and cigarettes had completely left him. No longer wasting money on the bad habits, he was able to save money for their wedding. Jesus had broken his addiction and offered him a new life he had desperately aspired for.

“My friends have tried to tempt me with crates of beer and failed. They now buy me water. I have become a professional water drinker,” said the comedian, jokingly. His former girlfriend, now his wife, sat next to him in the church, displaying their beautiful newborn baby, a result of the glorious union God performed after his deliverance from smoking and drinking, over one year ago!

Thursday, January 2, 2014

JAZBA YATAWALA KATIKA MKUTANO WA BONGO MOVIE NA TRA...HIVI NDIVYO ILIVYOKUA

JAZBA baab’kubwa imeibuka katika mkutano wa wasanii wa filamu za Bongo ‘Bongo Movies’ na Bongo Fleva ulioandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na chombo cha kusimamia haki za wasanii nchini, Cosota.

Jacob Steven ‘JB’.

Tukio hilo lilijiri Jumatatu iliyopita ndani ya Ukumbi wa Vijana Social, Kinondoni, Dar ambapo mastaa wa filamu, Jacob Steven ‘JB’ na Issa Mussa ‘Cluod 112’ waliihoji Cosota juu ya tatizo la wizi wa kazi za wasanii ndipo ‘kiliponuka’ baada ya kutoridhishwa na majibu.


Issa Mussa ‘Cluod 112’.

Hali hiyo ilisababisha baadhi ya wasanii, wakiwemo JB na Cloud kutoka kikaoni na kuendelea na mambo yao mengine huku wawakilishi wa TRA wakiendelea na kikao na kufafanua mipango yao