JENIFFER KYAKA (ODAMA): J FIML 4 LIFE

CREW

CREW

2015 Calendar

2015 Calendar

FILMS

FILMS

FILMS 2

FILMS 2

ADVERTS

ADVERTS

Pages

  • HOME
  • OUTING
  • MY MOVIES
  • OTHER MOVIES
  • BEHIND THE SCENE
  • ODAMA NA MWANAE JASON
  • MY PROJECTS
  • R.I.P STEVEN KANUMBA
  • CONTACTS
  • MY PROFILE
  • J-FILM 4 LIFE
  • AWARDS
  • INVITATION
  • LOCATIONS
  • INTERVIEWS
  • MAZISHI YA MAREHEMU ROSE THOMAS WA BONGO MOVIE
  • MY PHOTO GALLERY
  • J-FILM 4 LIFE CREW

INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Sunday, March 31, 2013

NDOA MBILI ZA WASANII WA BONGO MOVIE!!!!

Haya ndiyo baadhi ya yaliyojiri katika ndoa ya Jimmy Mafufu pamoja na Idrissa Makupa waliyoamua kuifanya siku moja kutokana na kuwa wote ni vijana wa Bongo Movie....!!!!!

Jimmy Mafufu akifungishwa ndoa.......


Dua ikiendelea.......


Idrissa Makupa akifungishwa ndoa na Shekhe.......


Nyerere akiomba dua!!!


Binti wa Kyaka nikiwa na Rachel Haule......


Mafufu akisaini cheti cha ndoa!!!!!!


Idrissa akisaini cheti cha ndoa!!!!!


Mama Salma Mtambo akiwa na JB sambaba kuhakikisha hakuna kinachoharika katika shughuli.....


Bi harusi wa Idrissa akisaini cheti cha ndoa!!!


Bi harusi wa Jimmy akisaini nae cheti cha ndoa...!!


Maharusi katika picha ya pamoja na Cloud 112......


Bi harusi kama waonekanavyo!!!!!


Muda wa maakuli....


Jacob Steven akichagua vinavyomfaa!!!


Asikudanganye mtu msosi kwenye shughuli muhim!!!!


Idrissa na mkewe katika pozi...


Cloud na Saguda wakifanya yao!!


Jimmy na mkewe nao katika pozi lao!!


Vivy na Mayasa Mrisho!!!!!


Akina mama wakifanya yao....!!!!!!

Posted by JENNIFER KYAKA "ODAMA" at 6:50 PM No comments:
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest
Newer Posts Older Posts Home
Subscribe to: Posts (Atom)

J-FILM 4 LIFE YAFANYA SHOOTING KATIKA TAMASHA LA EVELYN KABWELILE

J-FILM 4 LIFE YAFANYA SHOOTING KATIKA TAMASHA LA EVELYN KABWELILE
Evelyn Kabwelile kwa uwezo wa Mungu aliweza kutimiza ndoto yake ya muda mrefu katika huduma yake ya uimbaji. Siku ya jana aliweza kuweka wakfu Audio CD yake inayoenda kwa jina la NJOO UONE katika hoteli ambayo kwa sasa anafanyia kazi ya Regency Park iliyoko kwa Nyerere Mikocheni jijini Dar es Salaam Tanzania siku ya Jumapili 22/03/2015. MATUKIO ZAIDI BONYEZA PICHA HAPO JUU

KUHUSU JENNIFER KYAKA

My photo
Biafra, Kinondoni, Dar es Salaam, Tanzania
View my complete profile

PICHA ZA INTERVIEW NA TBC 1

PICHA ZA INTERVIEW NA TBC 1

FILAMU MPYA YA JADA INAPATIKANA SOKONI

FILAMU MPYA YA JADA INAPATIKANA SOKONI
J-Film 4 Life sasa inakuletea filamu mpya ya JADA kama zawadi kwako mdau wa filamu bora kutoka katika kampuni yako ya J-Film 4 Life. Ndani ya hii filamu utajifunza mengi sana na maisha yako yatabadilika kama utafuata yale yenye kukusaidia. PICHA ZA MAANDALIZI YA FILAMU HII BONYEZA HIYO PICHA HAPO JUU

FILAMU KUTOKA J-FILM 4 LIFE

FILAMU KUTOKA J-FILM 4 LIFE

ODAMA ASHINDA MASHINDANO YA MSANII BORA REDIO UHURU

ODAMA  ASHINDA MASHINDANO YA MSANII BORA REDIO UHURU
Bonyeza picha hapo juu kuona mahojiano katika ya Mama Abdul wa Redio Uhuru na Odama juu ya ushindi wa sanii bora wa filamu Tanzania

FILAMU YA INSIDE IKO SOKONI SASA

FILAMU YA INSIDE IKO SOKONI SASA
Filamu inayoonyesha vituko vya maofisini. Baadhi walioshiriki ni marehemu Rachel Haule, Beny, King Majuto, Dullah wa Panet Bongo, Davina, na wengine wengi. Usikose nakala yako.

FILAMU YA JICHO LANGU IKO SOKONI SASA

FILAMU YA JICHO LANGU IKO SOKONI SASA

FILAMU YA "WITCH DOCTOR" IKO KITAA SASA!!!

FILAMU YA  "WITCH DOCTOR" IKO KITAA SASA!!!

FILAMU YA FIGO SASA IKO MTAANI..WAHI SASA UJIPATIE NAKALA YAKO

FILAMU YA FIGO  SASA IKO MTAANI..WAHI SASA UJIPATIE NAKALA YAKO

FILAMU YA FAMILY WAR YA ODAMA IPO SOKONI. JIPATIE NAKALA YAKO

FILAMU YA FAMILY WAR YA ODAMA IPO SOKONI. JIPATIE NAKALA YAKO

FILAMU YA CHOCOLATE YA ODAMA INAPATIKANA SOKONI. JIPATIE NAKALA YAKO

FILAMU YA CHOCOLATE  YA ODAMA  INAPATIKANA SOKONI. JIPATIE NAKALA YAKO

HOUSE MAID FILM IPO SOKONI

FILAMU YA RUDE IPO SOKONI

FILAMU YA RUDE IPO SOKONI
Jipatie nakala yako ya RUDE sasa na uweze kuburudika na kuelimika kutoka kwa Jeniffer Kyaka (Odama)

JENNIFER KYAKA (ODAMA) ASHEREKEA BIRTHDAY YAKE NA YATIMA 2014

JENNIFER KYAKA (ODAMA) ASHEREKEA BIRTHDAY YAKE NA YATIMA 2014
Bonyeza hiyo picha hapo juu kuona matukio

MKURUGENZI WA J-FILM 4 LIFE JENNIFER KYAKA (ODAMA)

MAZISHI YA SHEILA (RACHEL) HAULE 1988-2014

MAZISHI YA SHEILA (RACHEL) HAULE 1988-2014

VISITOR FROM DIFFERENT COUNTRIES


widgets

OUR VISITORS

VISITORS

MORE BLOGS TO VISIT

  • JIACHIE
    WAZIRI SIMBACHAWENE ATEMBELEA BANDA LA OFISI YA RAIS,MIPANGO NA UWEKEZAJI WIKI YA UTUMISHI WA UMMA - WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. George Simbachawene ametembelea na kukagua banda la tume ya tai...
    5 minutes ago
  • MICHUZI
    TUME YA MADINI YAZIDI KUNADI FURSA ZA UWEKEZAJI KATIKA SEKTA YA MADINI - 📍Dodoma, Juni 18, 2025 Tume ya Madini imeendelea kunadi fursa mbalimbali za uwekezaji katika sekta ya madini kupitia ushiriki wake kwenye Maadhimisho ya...
    49 minutes ago
  • MTAA KWA MTAA
    Puma Energy Tanzania Yashiriki Kongamano Kukuza Ushirikishwaji Watanzania Sekta ya Madini. - Puma Energy Tanzania imethibitisha dhamira yake ya kuiunga mkono sekta ya madini nchini kwa kushiriki katika kongamano la kitaifa la siku tatu lililoand...
    1 hour ago
  • KAMANDA WA MATUKIO
    REKODI YA MAPATO, GAWIO LA WANAHISA NMB VYATIKISA KONGAMANO LA UWEKEZAJI ZANZIBAR - BENKI ya NMB imewahakikishia wawekezaji wadogo, wa kati na wakubwa walioshiriki Kongamano la Uwekezaji Zanzibar lililoratibiwa na Mamlaka ya Uwekezaji Zan...
    13 hours ago
  • BUKOBAWADAU BLOG
    Katika Picha Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ahutubia wananchi wa Itilima mkoani Simiyu - Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akikata utepe kuashiria ufunguzi wa Hospitali ya Wilaya ya Itilima katika muendele...
    18 hours ago
  • HABARI NA MATUKIO
    MAVUNDE ATAKA WATANZANIA KUPEWA KIPAUMBELE KUSAMBAZA BIDHAA NA HUDUMA MIGODINI - *▪️Aelekeza mabadiliko ya Kanuni ili kuruhusu uhaulishwaji teknolojia kwa Kampuni za Kigeni* *▪️Ataka Watanzania kuchangamkia Trilioni 5.3 za usambazaji ...
    23 hours ago
  • SUFIANI MAFOTO
    TUWAPE FARAJA FAMILIA ZENYE WATOTO WENYE USONJI, TUSIWATENGE -JACKLINE MJEMA - *Mwandishi na Mtunzi wa Vitabu, Jackline Christopher akionesha kitabu chake cha All the Colors I See baada ya kukizindua mapema wiki hii ambapo kinazung...
    1 month ago
  • RUMAFRICA
    🔴#LIVE - IBADA YA JUMAPILI ----30-MARCH-2025 -
    2 months ago
  • Millard Ayo – Official Website
    Habari kubwa Magazetini Kenya leo March 3, 2025 - Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Tanzania March 3, 2025,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma Magazetini ke...
    3 months ago
  • Viwanjani (nini kimejiri leo Maximo?)
    SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA - SUPER D AMUANDAA SUNDAY KIWALE KWA USHINDI WA K,O JANUARY 31 TANGA ATAKAPOZIPIGA NA YOHANA MCHANJA Na Mwandishi Wetu KOCHA wa kimataifa wa mchezo wa masum...
    5 years ago
  • swahili hood portal
    WASANII WA FILAMU TEMEKE KULAMBA DILI KUBWA – GABO - MWIGIZAJI mahiri katika tasnia ya filamu Swahilihood Salim Ahmed ‘Gabo Zigamba’ amefunguka kuwa ni wakati wa wasanii wenye makazi na maisha yao, kulamba du...
    5 years ago
  • MATUKIO UK
    KATUNI YA LEO -
    6 years ago
  • NURU the light
    MY FIRST VLOG!!! - kUNA BAADHI YA WATU BADO WANASUBIRI NIRUDI HUMU ILA HAMJAMELEWA KUWA NIMEHAMA NA NIMEFUNGUA A WEBSITE NA KUBLOG HUKO NA NAPATIKANA AT WWW.NURUTHELITE.COM,K...
    6 years ago
  • TANZANIA ONE
    SIMBA SC. YAWEKA SOKONI MAJI YAKE! - *Maji mapya ya simba simba ambayo yanaandaliwa kwaajili ya kuwafanya mashabiki waichangie timu yao.*
    8 years ago
  • TheCHOICE
    MAHARATA - Yes *MAHARATA *crack it hard
    9 years ago
  • Uncle Jimmy
    SAFARI HII SI YA KUKOSA ZANZIBAR -
    9 years ago
  • DJ Fetty
    Bunge Lamkingia Kifua Zitto Kabwe......Lasema Bado ni Mbunge Halali na Spika wa Bunge ana Mamlaka Kisheria Ya Kutengua Maamuzi ya CHADEMA - Ofisi ya Bunge imesema haijapata barua yoyote kuhusu kuvuliwa uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe (Chadema). Kauli ya hiyo ya Bunge im...
    10 years ago
  • RAY THE GREATEST
    HARD PRICE COMING SOON - * Samahanini sana wadau wangu... Naombeni sana mnisamehe kwa kupotea kwa kipindi kirefu, na yote haya yanatokana na majukumu ya hapa na pale. Ila nisinge...
    11 years ago
  • JamiiForums | The Home of Great Thinkers
    -
  • Global Publishers
    -

CURRENCY

   Tanzanian Shilling Exchange Rate

POPULAR POST

  • PICHA MBALIMBALI ZA AUNTY EZEKIEL, MUMEWE NA WAGENI WAO, WAALIKWA LUNCH BAADA YA KUOLEWA
    Maharusi Mr & Mrs Sunday Demonte wakiwa katika pose nyumbani kwa Salma Mgido mapema leo kwaajili ya chakula cha mchana ...
  • HARUSI YA WASANII WAWILI WA BONGO MOVIE WALIOVYOSHEREHEKEA UKUMBINI.........
    Hivi ndivyo ilivyokuwa ukumbini kwenye harusi ya wasanii wawili walioamua kufanya ndoa yao siku moja,,,, Jimmy Mafufu na Idrissa Makupa!!!!...
  • PICHA NYINGINE ZA MUONEKANO MPYA WA VICENT KIGOSI "RAY"
    s   Source:  http://www.vitukovyamtaanews.com/2013/11/picha-nyingine-za-muonekano-mpya-wa.html?utm_source=BP_r...
  • PICHA ZA HAPPY BIRTHDAY YA MTOTO WA JENNIFER KYAKA (ODAMA) AITWAE JASON
    Msanii wa fialmau Tanzania Jennifer Kyaka (Odama) aliweza kufanya party ya kusherekea siku ya kuzaliwa ya mwanae Jason ambaye alikuwa anat...
  • DIAMOND ATOA SIRI 5 ZA KURUDIANA WEMA SEPETU.....AKANUSHA KUWEPO KWA FILAMU YA YEYE KUIGIZAA NA WEMA SEPETU..
    Habari na Vituko Vya Mtaa MKALI wa songi linalotamba runingani na redioni ndani na nje ya Bongo la Number One, Nasibu Abd...
  • MWIGIZAJI WA BONGO MOVIE, ROSE THOMAS AFARIKI DUNIA
    Marehemu Rose Thomas alikuwa mwigizaji wa filamu za Kitanzania (Bongo Movie) kwa kipindi kirefu sana. Kuna baadhi ya filamu ambazo ...
  • WATU WAMUUA MCHEKESHAJI KING MAJUTO ANGALI HAI....HUU HAPA USHAIDI
    JAMANI tunaombwa tunapotumiwa messege tujifunze kuisoma mpaka mwisho na sio kusoma juu tu nakuanza kuwapigia watu simu kuwapa habari zisizo...
  • ROSE NDAUKA NA MCHUMBA WAKE WAZICHAPA
    Staa wa filamu Bongo, Rose Ndauka hivi karibuni amedaiwa kutwangana makonde na mchumba wake aitwaye Maliki Bandawe, chanzo kikidaiwa ni ...
  • JACK PATRICK AACHIA PICHA NYINGINE MBAYA
    MLIMBWENDE mtata Bongo, Jacqueline Patrick, kama kawa, amedondosha picha nyingine chafu kwenye ‘peji’ yake ya mtandao wa BBM. Jack...
  • WEMA SEPETU AFANYA KUFURU
    KATIKA kuonesha jeuri ya fedha, Wema Isaac Sepetu amefanya kufuru kama kawaida yake baada ya kumlowanisha mwili mzima kwa pombe za bei mba...

BLOG ARCHIEVE

  • ►  2016 (122)
    • ►  August (4)
    • ►  July (20)
    • ►  June (2)
    • ►  May (21)
    • ►  April (14)
    • ►  March (14)
    • ►  February (26)
    • ►  January (21)
  • ►  2015 (267)
    • ►  December (28)
    • ►  November (18)
    • ►  October (27)
    • ►  September (29)
    • ►  August (9)
    • ►  July (10)
    • ►  June (1)
    • ►  May (2)
    • ►  April (1)
    • ►  March (33)
    • ►  February (93)
    • ►  January (16)
  • ►  2014 (76)
    • ►  December (5)
    • ►  November (3)
    • ►  September (9)
    • ►  August (3)
    • ►  July (9)
    • ►  June (11)
    • ►  May (6)
    • ►  April (3)
    • ►  March (24)
    • ►  February (1)
    • ►  January (2)
  • ▼  2013 (73)
    • ►  December (6)
    • ►  November (9)
    • ►  October (25)
    • ►  September (10)
    • ►  August (8)
    • ►  June (2)
    • ►  May (4)
    • ►  April (5)
    • ▼  March (1)
      • NDOA MBILI ZA WASANII WA BONGO MOVIE!!!!
    • ►  February (2)
    • ►  January (1)
  • ►  2012 (252)
    • ►  December (7)
    • ►  November (13)
    • ►  October (30)
    • ►  September (15)
    • ►  August (71)
    • ►  July (50)
    • ►  June (19)
    • ►  May (33)
    • ►  April (13)
    • ►  March (1)

BLOG DESIGNER

BLOG DESIGNER
Rulea Sanga | rumatz2012@gmail.com | +255 715 851523 | www.rumaafrica.blogspot.com | www.rumaafricajobs.blogspot.com
jennifer kyaka. Picture Window theme. Powered by Blogger.