INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, January 2, 2014

JAZBA YATAWALA KATIKA MKUTANO WA BONGO MOVIE NA TRA...HIVI NDIVYO ILIVYOKUA

JAZBA baab’kubwa imeibuka katika mkutano wa wasanii wa filamu za Bongo ‘Bongo Movies’ na Bongo Fleva ulioandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na chombo cha kusimamia haki za wasanii nchini, Cosota.

Jacob Steven ‘JB’.

Tukio hilo lilijiri Jumatatu iliyopita ndani ya Ukumbi wa Vijana Social, Kinondoni, Dar ambapo mastaa wa filamu, Jacob Steven ‘JB’ na Issa Mussa ‘Cluod 112’ waliihoji Cosota juu ya tatizo la wizi wa kazi za wasanii ndipo ‘kiliponuka’ baada ya kutoridhishwa na majibu.


Issa Mussa ‘Cluod 112’.

Hali hiyo ilisababisha baadhi ya wasanii, wakiwemo JB na Cloud kutoka kikaoni na kuendelea na mambo yao mengine huku wawakilishi wa TRA wakiendelea na kikao na kufafanua mipango yao

No comments:

Post a Comment