INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Wednesday, May 25, 2016

Martin Kadinda Azungumzia Ugomvi Wa Mirror Na Petit Man.

Martin Kadinda amefunguka juu ya ugomvi wa Mirror na Petiti Man. Akizungumza na Enewz Kadinda alisema kuwa ugomvi wa Mirror na Meneja wake anayesimamia kazi zake za muziki yaani Petit man ni utoto tu unawasumbua.

“Petiti bado yupo Endles Fame kwakuwa bado hajaiandikia barua kampuni kuwa anatoka na yote yaliyotokea kati ya petit na Mirror ama Wema ni tofauti zao tu kawaida ambazo si mara ya kwanza kutokea”,alisema Kadinda.
Hapo awali Mirror aliiambia Enewz kua hasimamiwi tena na Petit katika kazi zake huku Petit akitaka tumuulize Meneja wa kampuni ambaye ni Kadinda juu ya swala hilo kwakuwa yeye ndo msemaji wa kampuni hiyo.
eatv.tv

No comments:

Post a Comment