INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, November 18, 2013

ANITA KYAKA NA JAMES WAFUNGA PINGU YA MAISHA TAREHE 16.11.2013 KATIKA KANISA LA AICT MAGOMENI

Siku ya Jumamosi 16/11/2013 ilikuwa ni siku ya pekee kwa wapendanao, James na Anita Kyaka kufunga pingu ya maisha katika kanisa la AICT Magomeni. Wanandoa hawa walimshukuru Mungu kwa yale yote ambayo amefanya katika kufanikisha lengo lao la kuachana na ukapela na kuingia katika maisha mapya ya mume na mke. Pia waliwashukuru wazazi wao ambao wamewalea mpaka kufikia hatua hii waliyofikia. Anita na James waliwashukuru pia ndugu na jamaa zao waliowatia moyo katika kipindi walichokuwa wakipitia wakati wa uchumba wao na mpaka sasa wanaitwa Bwana na Bibi.

Shukrani zingine zilimfikia dada yake kipenzi Jennifer Kyaka (ODAMA) kwa yale yote aliyoyafanya kuhakikisha shughuli inaisha salama.

Shughuli ilianza katika kanisa la AICT Magomeni, baada ya hapo zoezi lilihamia katika viwanja vya Lamada ambapo wanandoa, jamaa na marafiki waliweza kupiga picha za kumbukumbu na mwisho wa siku gurudumu lilielekezwa katika ukumbi wa PICOLO BEACH MIKOCHENI ambapo watu waliweza kujiachia na kufurahia siku ya kipekee ya Anita na James.

Tuone baadhi ya matukio yaliyoajili.

Picha zimepigwa na RUMAFRICA +255 715 851523

KIPINDI CHA KUINGIA KANISANI
Wakiingia kanisani
James na Anita wakiingia kanisani


Fuuul kupendeza

MCHUNGAJI AKIFANYA MAOMBEZI NA KUBARIKI NDOA HII

Mchungaji akiwaombea wanandoa


 Wa pili kutoka kulia ni mzazi wa Bwana harusi James

KIPINDI CHA KUSIKILIZA NENO LA MUNGU KUTOKA KWA MCHUNGAJI
 Kutoka kulia ni wazazi wa Bibi harusi Anita Kyaka

 Anita Kyaka (Mrs James)

Kulia ni James akiwa na best man wake

 Mdogo wake na Anita Kyaka aitwae George Kyaka
 Jennifer Kyaka (Odama)
 Odama akiwa na mdogo wake wa mwisho kulia
 Odama akiwa na mdogo wake wa mwisho Albert Kyaka

 Kulia ni mjomba wake na Bwana harusi James


KIPINDI CHA MZAZI WA BWANA HARUSI KUMRUHUSU MWANAE KUMPOKEA MKE WAKE (ANITA KYAKA) RASMI...KANISANI
Mamamzazi wa Bwana harusi, James


 Bibi wa Bibi harusi Anita Kyaka

KIPINDI CHA WAZIZI WA BIBI HARUSI KUTOA NENO KWA MAHARUSI

 Wazazi wa bibi harusi, Anita Kyaka
Mchungaji akiwapa mkono wa baraka wazazi wa bibi harusi baada ya wosia wao

KIPINDI CHA KUVISHANA PETE












KIPINDI CHA KUTIA SAINI KATIKA VYETI VYAO VYA NDOA
 James akiweka saini
Anita akiweka saini








KIPINDI CHA KUTOKA KANISANI NA KUELEKEA LAMADA KWAAJILI YA PICHA ZA KUMBUKUMBU




KIPIDI CHA KUPIGA PICHA ZA KUMBUKUMBU KATIKA LANGO KUU LA KANISA


Wakiwa katika mlango mkuu wa kutokea wakipiga picha za pamoja na ndugu na jamaa zao
 Kushoto ni dada yake Anita Kyaka akiwa na mdogo wake George Kyaka
 Odama akiwa na wadogo zake..kulia ni George na kushoto ni Albert
Odama akiwa na wazazi wake






MAHARUSI  WAKIWA KATIKA ENEO LA LAMADA KWA PICHA ZA KUMBUKUMBU









 Maharusi wakiwa na wazazi pamoja na ndugu wa upande wa Anita Kyaka
 Madada na baadhi ya ndugu wa bibi harusi
















 Kulia ni mdogo wake Anita Kyaka (Joan Kyaka) akiwa na rafiki yake

UKUMBINI




 Wa kwanza ni mama mzazi
Kutoka kulia ni Zungu, dada yake na Anitaka Kyaka, Joan Kyaka na rafiki yake Joan Kyaka wakiingi ukumbini


 Jennifer Kyaka (Odama) dada wa Anita Kyaka
 Joan Kyaka mdogo wake na Anita Kyaka



KIPINDI CHA MAHARUSI KUSALIMIANA NA NDUGU NA JAMAA

 Anita Kyaka akisalimiana na mama mzazi wa mume wake James

 James akisalimiana na mama yake mzazi.

 James akisalimiana na baba mzazi wa mke wake Anita Kyaka

KIPINDI CHA KUBURUDIKA NA MUZIKI





KIPINDI CHA KUPIGA PICHA ZA PAMOJA NA VIKUNDI MBALIMBALI
 Hawa ni ndugu wa upande wa James




 Bibi mzaa mama wa Anita Kyaka
 Bryan mtoto wa dada yake na Anita Kyaka

 Odama dada yake na Anita Kyaka


Wazazi wa Anita Kyaka wakiwashukuru wale wote waliofika na kutoa ujumbe kwa wanandoa hawa...





George Kyaka akiwa na dada yake

KIPINDI CHA KULISHANA KEKI KILIFIKA









KIPINDI CHA MISOSI KILIFIKA..WATU WEWEEEEEEE...!!!!





 







KIPINDI CHA SHAPENI KILIFIKA






KIPINDI CHA KUTOA ZAWADI KILIFIKA


KIPINDI CHA KUPIGA PICHA ZA PAMOJA NA VIKUNDI MBALIMBALI, NDUGU NA JAMAA
Ndugu upawa mume


KWAHERINI JAMANI NA MUNGU AWABARIKI SANA

Picha zimepigwa na
RUMAFRICA
+255 715 851523
www.rumaafrica.blogspot.com



No comments:

Post a Comment