INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, July 7, 2014

MSANII BAKARI MAKUKA ATUNUKIWA STASHAHADA YA UANDISHI WA HABARI

MSANII katika tasnia ya filamu nchini, Bakari Makuka ametunukiwa stashaha ya uandishi wa habari katika Chuo cha Dar es Salaam City (DACICO) kilichoko Kibamba CCM jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na mwandishi wetu, amewataka wasanii wenzake kujiendeleza zaidi katika masomo ya fani mbalimbali kama yeye alivyochukua fani ya uandishi wa habari.

"Ushauri wangu wasanii wasibweteke wajiendeleze na masomo kwani vyuo ni vingi sana, unaweza kusoma fani yoyote unayoitaka". Alisema Makuka


Bakari Makuka akiwa kavalia joho.


Bakali Makuka akiwa na mhitimu mwenzake baada ya kutunukiwa stashahada.


Ndugu na jamaa wakimpongeza mpendwa wao Bakari Makuka.

No comments:

Post a Comment