INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, July 10, 2014

STEVE NYERERE AWAANDALIA 'DINNER' MASTAA NA WADAU WA FILAMU

MWENYEKITI wa Bongo Muvi, Steve Nyerere jana usiku aliwaandaia chakula cha jioni mastaa na wadau mbalimbali wa filamu Bongo ikiwa ni kuungana na wenzao waliokatika mfungo wa Mwezi Mtukufu wa Ramadhan. Hafla hiyo ilifanyika ndani ya Great Wall Restaurant iliyopo Osterbay jijini Dar esa Salaam.

Waigizaji na baadhi ya waandishi wa habari wakiwa tayari kusubiri chakula cha usiku kilichoandaliwa na Mwenyekiti wa Bongo Muvi, Steve Nyerere.


Wolper na Kajala wakibadilishana mawazo wakati wa hafla hiyo.

Wanamuziki wa Kundi la Makomandoo Fred (kushoto) na mwenzake Muki aliyevaa kanzu nyeupe nao pia walikuwepo katika hafla hiyo.


Tiko na Shilole nao ndani
Profesa Jay akichati kwenye simu yake wakati wa hafla fupi iliyoandaliwa na Steve Nyerere.

Mike Sangu na mkewe Thea wakiwa katika pozi.

Muigizaji Maria akiwa na mwenzake Rose Ndauka (kulia).

Jini Kabula, Mariam Mndeme na Isabela Mpanda wakijumuika katika hafla hiyo.

Mwanamuziki Chaz Baba, na waigizaji wa Bongo Muvi wakibadilishana mawazo.

Chaz Baba akiwa na kigogo mmoja mwenye mamlaka ya kutengeneza vitambulisho vya taifa wakitaniana na Profesa Jay.

Mhudumu wa mgawaha wa Great Wall Restaurant akiwa ameshikilia samaki aina ya kaa.

Baadhi ya wageni waalikwa wakifanya yao.

Rich na Dude wakigonga menyu.

Mtitu akiomba sahani yenye nyama za kukaanga.
Waigizaji wa kike wakifanya yao.


Mahaba niue: Mike Sangu akimlisha mkewe chakula.

Malkia wa Mipasho, Bi. Khadija Kopa akila chakula kwa kutumia vijiti maalum wanavyotumia Wachina kulia chakula.

No comments:

Post a Comment