INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Saturday, September 20, 2014

ODAMA KUOSHA MAGARI BIAFRA LEO MCHANA


Jeniffer Kyaka (Odama)

Msanii wa Bongo Muvi anayeheshimika sana na jamii kwa kazi zake nzuri zinazofanywa na kampuni yake ya J-Film 4 Life dada Jennifer Kyaka (Odama) siku ya leo atakuwa akiosha magari yeye mwenyewe katika viwanja vya Biafra mchana wa leo. Ukitaka kumuona yeye na wasanii maarufu sana wa Bongo Muvi basi jisogeze pale Biafra uone mastaa hawa wakipiga kazi. Soma hilo tangazo


No comments:

Post a Comment