INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, August 4, 2015

Irene Uwoya Ang'ara Ubunge Viti Maalum Mkoani Tabora.

Star wa filamu nchini Irene Uwoya ameng'ara katika kinyang'anyiro cha kura za maoni ubunge viti maalum mkoani Tabora. Uwoya alipata kura 34 kati ya 39n zilizopigwa. Kwa upande mwingine msanii Steve Nyerere ambaye alikuwa pia akiwania kuteuliwa kugombea ubunge jimbo la Kinondoni kupitia CCM alishindwa kutamba katika kura za maoni.

No comments:

Post a Comment