INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, December 4, 2012

BONGO MOVIE NA SAFARI YA IRINGA....!!!!

Hivi karibuni Bongo Movie tulivamia Mkoa wa Iringa kwa ajili ya kucheza mechi na Waandishi wa habari wa Iringa kwa madhumuni ya kumchangia ndugu yetu mpendwa Juma Kilowoko( SAJUKI) ili haweze kwenda kwenye matibabu yake ya mwisho Nchini India, kwa kifupi tulifanikiwa kwa kiasi chake si kikubwa wala kidogo lakini Mungu ndio muweza kila jambo tuna mpango wa kwenda mikoa mingine kwa ajili ya kufanya kitu hicho embu twende tukaone mambo yalivyokuwa.....
Sajuki na mkewe Wastara.....
Interview E Born Redio kwa ajili ya mtanange huo wa kukatana na shoka...
The Greatest & I.........

The Greatest akiongea machache......
Jennifer Kyaka(Odama).....
 Richie na Recho wakiongea juu ya ujio wa Bongo Movie Iringa....
Cloud...
 
Kitale....
 
Tino....
 
Me, Rachel Haule & Flora Mvungi........

Mtanange ukaanza wadau, hawa ndio vijana wa Bongo Movie wakipasha misuli.....
First Eleven ya Bongo Movie Unit iliyo mwaga cheche zake Mkoani Iringa....
Benchi la ufundi likiwa makini kufuatilia mchezo unavyokwenda..........

Chuchu Hans msanii toka Bongo Movie......
Me, Yusuf Mlele(middle) & Rachel.....
 Kitale.......

Half Time The Greatest akitafakari jambo....

Kocha Mkuu Bongo Movie Unit Single Mtambalike (Richie) akiongea machache wakati wa Half Time...

Mzee Yusuph naye akitoa yake machache aliyeyaona kipindi cha kwanza.....

Mawazo ya Kocha Mkuu yaliweza kufanya mabadiliko uwanjani tukapata bao la kwanza......

Wadada wa Bongo Movie wakishangilia ushindi.....

Mpaka mwisho wa mchezo Bongo Movie 2 na waandishi wa habri 2 hivyo ndivyo mambo yalivyokuwa wadau wa blog hii..

No comments:

Post a Comment