INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Saturday, December 1, 2012

R.I.P JOHN STEPHANO


Mwaka huu 2012 umekuwa ni mwaka mbaya kwa wasanii wa tasnia tofauti. Maana tumepata misiba mingi kwa wakati mmoja lakini hatupaswi kulalamika maana kazi ya Mungu haina makosa, Msanii aliyekuwa akichipukia kwa kasi ndugu yetu mpendwa wetu Bwana John Stephano alipofariki kwa matatizo ya tumbo Mungu ailaze roho ya maremu pema peponi.
Tino akisaini katika kitabu cha kumbukumbu..
Baba wa marehemu Mzee Stephano.
 Msanii Chiki Mchoma akielezea machache.....
Ratiba za kuwaga mwili wa marehemu zikiendelea.

Michael Sangu akitoa heshima zake za mwisho.
Mwili wa marehemu!
Watu walikuwa wengi sana..
Gari lililobeba mwili wa marehemu..

Odama katika majonzi....
Batuli katika majonzi..
Wasanii wakimpeleka mwenzao kwenye makazi yake ya kudumu.
Tukielekea makaburini.
Baadhi ya viongozi wa bongo movie unit wakijadili jambo.
Cloud.
Baba wa marehemu akiwasili..
Mwili marehemu ukitolewa kwenye gari nakupelekwa kwenye sehemu iliyoandaliwa
Hii ndi nyumba ya marehemu..
Tukiuingiza mwili marehemu kwenye kaburi
Ni huzuni kubwa sana unapondokewa na mtu uliyekuwa naye karibu.
Padre akimuombea marehemu..
Baba mzazi wa marehemu akiweka udongo..
Majonzi..
Huruma
Nape Mnauye akiweka udongo wa mwisho kwa marehemu
Saimon Mwakifamba Rais wa wasanii Tanzania nzima naye akiweka udongo wa mwisho.

No comments:

Post a Comment