INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, November 3, 2015

Sitaacha Muziki Licha Kuchaguliwa Kuwa Mbunge Wa Mikumi. Professor Jay

Joseph Haule "Prefessor Jay" amabye ni msanii maarufu wa hip hop nchini amesema kuwa hataacha muziki hata kama amechaguliwa kuwa mbunge wa jimbo la Mikumi. Professor Jay alisema kuwa muziki ndio umefasnya wengi wamjue yeye na harakati zake za kuipigania jamii. Hivyo atawatumikia wananchi wa jimbo la Mikumi kuleta maendeleo lakini pia muziki atafanya kama kawaida kufikisha ujumbe kwa jamii.

No comments:

Post a Comment