INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, April 23, 2012

AROBAINI YA MTOTO WA MSANII MAMA HIDAYA NJAIDI, KIMARA
 Msanii Mama Hidaya Njaidi maarufu kwa kuigiza kama Mama na vile vile Mc maarufu jijin Dsm,Siku ya jana amemtoa mtoto wake nje kwa kutimiza siku arobaini na kumfanyia party kubwa nyumbani kwake Kimara.Watu mbalimbali wakiwemo wasanii wa Bongo Movie walihudhuria sherehe hiyo kubwa nyumbani kwa msanii huyo.Watu walikunywa na kula vya kutosha,zawadi mbalimbali za mtoto zikiwemo fedha zilitolewa ndani ya party hiyo

 Kupa akimbeba mtoto

 Nteze akiwa na mtoto

 Dada Erieth na Zamaradi  wakiwa wamemshika mtoto

 Nikiwa na Rachel na kababy

 Mama Njaidi akiwa na mdogo wa mumewe Othuman Njaidi maarufu OJ nadhani wengi mnamjua

 Mambo ya kutunzana hayo,Mc Chichi akimtunza dada yake

 Pesa position hizo

 Kamanda akiwa na Mc Chichi

 Jackline wolper katika pozi

 Tukiwa na Mama Njaidi

 Mambo ya Twaarabu hayo

 Mc Chichi akiwa na Mama Njaidi

 Jackline Wolper akitunza

 Jamani furaha gani hii

 Eheee lete maneno,hiki kiduku au?

 Mapozi lazima yawepo jamani

 Nitunze mdogo wangu mie

 Wolper akitoa nasaha kidogo

 Mkono wa pongezi

 Maswala mazima ya maakuli hayakukosekana

 Kama kawaida yake kijana

 Nteze akipata menuss

No comments:

Post a Comment