INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Wednesday, November 7, 2012

BAADA YA FILAMU YA CHOCOLATE SASA NI ZAMU YA FAMILY WAR


J-Film 4 Life chini ya Mkurugenzi Jennifer Kyaka (Odama) sasa wanakuletea filamu mpya inayoitwa "Family War." Filamu hii itakuwa sokoni mwezi huu wa Novemba 2012 kwahiyo wadau na wapenzi wa filamu msikose kuangalia filamu hii, kwani utaelimika, utaburudika, utafundishwa na kuadabishwa.

J-Film 4 Life baada ya kukuletea filamu ambazo naamini ulishaziangalia kama Chocolate na House Maid na nyingine nyingi ambazo ni gumzo jijini Dar es Salaam, sasa imeona ikuletee filamu hii mpya yenye viwango vya kimataifa. Kama unavyojua J-Film 4 Life ni kampuni ambayo inatoa filamu za viwango vya juu sana.

 Odama akiwa kwenye setting ya camera....akisubiri kufanya mambo yake.
 Mambo yakiendelea kuiva
Odama akisubiria Action..............
 Watu wakiwa kazini...bizeeeeee
 Devie akifanya maajabu katika filamu ya Family War
 Grace Mapunda akifanya mambo yake kwenye scene ya hospitali
 Director Lamata (kulia) akitoa maelekezo kabla ya scene kuanza
 Recho Saguda akiwa on set kabla ya scene kuanza.
 Director Sajuki akitoa company kwa waigizaji wenzake kwenye scene za hospitali

 Hakuna kitu kizuri kama upendo. Sajuki na mke wake Wastara wanaonyesha upendo kwa vitendo.
 Umeona unywele....hayo ni mambo ya Family War
 Slim akiwa on set
 Cake haikuwa nyuma katika filamu hii
 Kazi imepamba moto hospitalini, yaani ni balaa tupu...
 Wakati mwingine usione fashion haya ni mambo ya Continuity...
 Pozi kwa pozi....
 Mlawa akitafakari script kabla ya scene kuanza
 Nikipitia script kabla ya scene kuanza

 Camera man Malik akiwajibika kazini...kuhakikisha kazi inaenda kama ilivyopangwa.


Tukipitia Script kabla ya scene kuanza

 Tukisubiria action kuanza tufanye vitu vyetu.

 Director akifuatilia scene kwa makini..

WADAU MSIKOSE KUNUNUA HII FILAMU.....ITAWAELIMISHA, ADIBISHA, KUFUNDISHA NA KUBURUDISHA.


1 comment:

  1. me ninakupenda,tunapataje hiyo movie yako na sisi tulioko nje ya tz?

    ReplyDelete