INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, November 22, 2012

MAYA: 'TUNAIUNDA UPYA BONGO MOVIE'


Mayasa Mrisho ‘Maya’.

STAA wa movie za Kibongo anayeitumikia Kampuni ya filamu ya Kanumba The Great, Mayasa Mrisho ‘Maya’ amesema kuwa wapo katika mchakato wa kuipika upya klabu yao ya Bongo Movie.
Maya kama mmoja wa wanachama wa klabu hiyo, ameitonya Tollywood Newz kuwa kwa sasa wanatoa upya fomu za uanachama na amewataka wasanii kuzichangamkia.
“Wanaozihitaji fomu hizo wanaweza kuniona ili wajiunge, tuweze kufanya mchakato wa uchaguzi wa viongozi watakaoisimamia klabu yetu,” alisema Maya.


Share on facebookShare on twitterShare on print

No comments:

Post a Comment