INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Friday, November 30, 2012

TUTAKUKUMBUKA SHARO MILIONEA!

 
Majonzi na vilio vilitawala kwenye msiba wa msanii wa Bongo Fleva pamoja na Bongo Movie ndugu yetu Sharo Milonea uliotokea katika Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga kwa ajali mbaya ya gari, msanii huyo alipokuwa akielekea kwenda kumuona mama yake mzazi na kukutwa na mauti.

  Msanii wa Bongo movie Ray alikuwa ni mmoja wa waombolezaji walioshiriki kwenye msiba wa ndugu yetu Sharo Milionea.....
Majonzi na vilio vilitawala..

Rachel Saguda na Batuli kwenye majonzi makubwa sana poleni dada zangu. .


Odama akiwa kwenye majonzi...
Mwili wa Marehemu ukiwasili nyumbani kwao..

Watu walizimia sana kwa uchungu wa kumpoteza ndugu yetu..

The Greatest akiwa kwenye majonzi..

Roma mwanamuziki wa kizazi kipya

Mzee Majuto mwenye kanzu akiwa pamoja Waziri Mwanamuziki wa wa Band ya Njenje wana Kinyaunyau..

Mh; Nape Nnauye naye alikuwepo, tunakushukuru sana kwa kujitoa katika misiba yote miwili, Asante sana Muheshimiwa kwa moyo uliotuonyesha wasanii,,, wewe ni mfano wa kuigwa na viongozi wenzako..

Majuto akiongea machache juu ya marehemu.

Mwili wa Marehemu tayari kwa kwenda kuzikwa.

Mwili ukipelekwa sehemu rasmi iliyoandaliwa kwa kuzikwa marehemu Sharo Milionea.

Poleni sana wasanii wetu wa Tanzania kumpoteza ndugu yetu sisi tulimpenda ila Mungu kampenda zaidi

Mtunisy Msanii wa filamu mwenye shati jekundu wakimsindikiza Msanii mwenzake Sharo Milionea.

No comments:

Post a Comment