INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Friday, November 23, 2012

JE SHILOLE KAOLEWA?



Staa wa filamu za kibongo maarufu kama Bongo Movies ambaye pia anafanya poa kwenye upande wa muziki, si mwingine ni Zuwena Mohamed alias Shilole ameendelea kushoot video ya single yake kwa jina la “Dudu” aliyompa collabo mkali wa Q-Chillah.
Kwenye utengenezaji wa video hiyo Shilole ameweza kuigiza kama anaolewa {Bi. Harusi} huku mume wake kwenye video hiyo akiwa Mo Rocka.
Kwa wapenzi wa msanii Shilole tegemeeni kupaipata video hiyo soon kwenye Television yako kwani mzigo mzima umesimamiwa na Kampuni ya Kwetu Studio.

No comments:

Post a Comment