INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, November 22, 2012

FILAMU YA FAMILY WAR KUINGIA SOKONI 27 - 11 - 2012 (WIKI IJAYO)

J-Film 4 Life chini ya Mkurugenzi Jennifer Kyaka (Odama) sasa wanakuletea filamu mpya inayoitwa "Family War." kwahiyo wadau na wapenzi wa filamu msikose kuangalia filamu hii, kwani utaelimika, utaburudika, utafundishwa na kuadabishwa.
J-Film 4 Life baada ya kukuletea filamu ambazo naamini ulishaziangalia kama Chocolate na House Maid na nyingine nyingi ambazo ni gumzo jijini Dar es Salaam, sasa imeona ikuletee filamu hii mpya yenye viwango vya kimataifa. Kama unavyojua J-Film 4 Life ni kampuni ambayo inatoa filamu za viwango vya juu sana.

No comments:

Post a Comment