INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, March 18, 2014

AWEKA WAZI UMRI WAKE:SANDRA AWASHUKIA WASANII WENZAKE WANAOJIONA WADOGO NA KUDANGANYA UMRI WAO

Mwigizaji wa Bongo, Salama Salmin ‘Sandra’ (32), amesema anachukizwa na tabia ya baadhi ya wasanii wenzake wanaopenda kurudisha umri nyuma kwa kujifanya wadogo kwani haoni umuhimu wake.

Salama Salmin ‘Sandra’.

Akistorisha na gazeti hili juzikati, Sandra alifunguka kuwa ni jambo la ajabu mtu kudanganya umri tena hata kwa wasanii wenzake wakati kimuonekano inaonesha dhahiri kuwa utu uzima umemnyemelea, lakini yeye anajiweka kiutoto kwa sababu ya kula ujana. “Wanajijua hamna sababu ya kuwataja, wanashindwa kumpendeza Mungu, wanajirudisha miaka nyuma ili waonekane wadogo wakati wengine sura zao zinawaumbua, kwa nini lakini?” alihoji Sandra

No comments:

Post a Comment