INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Sunday, March 2, 2014

KWANINI UKOSE TAMASHA HILI SIKU YA LEO..MESS JACOB CHENGULA KUZINDUA ALBAMU YAKE YA MUNGU HABADILIKI UBUNGO PLAZA

Jumapili ya leo ni balaa katika ukumbi wa kujidai UBUNGO PLAZA. Watu wa Mungu kukusanyika pamoja kumtukuza Mungu ambapo Mess Jacob Chengula atakuwa anazindua albamu yake ya Mungu Habadiliki. Njoo uone kazi ya Mungu na utabarikiwa sana na uimbaji wa leo

MHUSIKA WA TAMASHA
 Mess Jacob Chengula wa Mungu Habadiliki

ALBAMU INAYOZINDULIWA
Albamu ya Mungu Habadiliki ya Mess Jacob Chengula

ENEO LA UZINDUZI NI UBUNGO PLAZA

Katika hotel ya Blue Pearl

MGENI RASMI WA TAMASHA HILI

Mgeni rasmi ni Naibu Waziri wa mawasiliano Tanzania Mh Januari Makamba

WAIMBAJI WATAKAIMBA SIKU YA LEO JUMAPILI UBUNGO PLAZA

Rose Muhando

Masanja Mkandamizaji

Atosha Kissava

Bony Mwaitege

Upendo Nkone

Silas Mbise

Neema Gasper

Edson Mwasabwite

Madamu Ruti

Faraja Ntaboba

Bahati Bukuku

Mwanamapinduzi

Stella Joel


Enock

Miriamu Lukindo

Joshua Makondeko

VIINGILIO
VIP



VITI VYA KAWAIDA


WATOTO


TANGAZO LIMETENGENEZWA NA RUMAFRICA



Tembelea
www.messchengula.blogspot.com
www.rumaafrica.blogspot.com

No comments:

Post a Comment