INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, April 4, 2016

Frank Na Hashim Kambi Wala Shavu La Kucheza Filamu Huko Marekani.

WAIGIZAJI kutoka  Hashim Kambi ‘Ramsey’ akiwa na msanii mwenzake Mohamed Mwikongi ‘Frank’ wamebahatika kutembelea katika viwanja vya Ikulu ya Marekani maarufu kwa jina la White State House katika jiji la Washington Amerika.
Swahilihood Hashim Kambi aka Ramsey anafunguka kwa bahati hiyo ya kuweza kufika katika eneo lenye ulinzi katika kiwango cha juu pengine kuliko Ikulu nyingi Ulimwenguni, anasema amesikia faraja kubwa sana.

“Upo huku muda kidogo na tulikuja kikazi kwa maana ya kushoot filamu huku Marekani na tumemaliza salama lakini kutokana na hali ya baridi kuwa kubwa tumepuzika na tunatumia muda huu kutembelea sehemu mbambali,”ansema Ramsey.
Msanii huyo amesema kuwa akiwa na mwigizaji mwezake wameweza kufika sehemu mbambali kama sehemu ya utalii na kujifunza mambo kutoka kwa wajuzi wa filamu yaani akiaongelea Hollywood na sehemu waliyoifurahia ni kutembelea Ikulu ya Marekani New York.
FC

No comments:

Post a Comment