INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, April 4, 2016

Steve Nyerere Amtaka Paul Makonda Kuangalia Tasnia Ya Filamu.

MSANII wa filamu Bongo, Steven Mengere ‘Steve Nyerere’ ameshikilia bango la kutaka filamu za nje zizuiwe hapa nchini kwa kuamini kuwa, soko la filamu za Kibongo litazidi kutanuka na kufanya vizuri.
Akipiga stori na paparazi wetu alisema, kila anapofikiria masuala ya filamu jambo hilo huwa linazidi kumnyima raha na kumtaka Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda kulishughulikia kwa kuwa yeye ni kiongozi wa serikali kuhakikisha wasanii wa filamu za Kibongo wanakuwa na amani katika kazi zao.

“Nimefurahi sana Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar. Namuomba alifanyie kazi suala la filamu za kigeni, ahakikishe hazipati nafasi kubwa isipokuwa filamu zetu,” alisema Steve.
Chanzo:GPL

No comments:

Post a Comment