INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, June 14, 2012

MCHEZA FILAMU NA MWIMBAJI WA BONGO FLAVA DOGO JANJA AKIRUDISHWA KWA ARUSHA

Wakati mwingi Dogo Janja alikua akiongea na simu kuwaaga watu huku akiwa na furaha ya kuondoka Dar es salaam alikoishi kwa tabu, anafurahi kurudi nyumbani Arusha.

Washikaji nachomoka



Kwaheri Bono karibu Arusha
.

Dogo Janja akiagana na kaka yake mwenye T shirt ya bluu yenye mistari.

Nitawamisi kwenye majukwaa ya Bongo machizi wangu
.

Poa mwana tutaonanana Arusha
.

Kweli natimua..sijiamini
.

Kweli hii ni ticket ya kwenda Arusha?  Du kila jambo linamwisho wake
.
Bye bye.

No comments:

Post a Comment