INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, January 5, 2015

Manaiki Sanga, Wolper, King Majuto, Kajala, Uwoya, Mlela, Hemedy, Gabo Kukinukisha Na Filamu Mpya Ya Wake Up.

Mastaa wa filamu filamu nchini Manaiki Sanga, Jackline Wolper, King Majuto, Irene Uwoya, Kajala, Gabo, Quick Racka, Yusuph Mlela, Hemedy PHD, Mama Abdul, Florah Mvungi, Tausi Mdegela, Mabeste, Sam Wa Ukweli wanatarajiwa kukinukisha katika filamu mpya iitwayo Wake Up (Amka) ambayo imeandaliwa na Manaiki Sanga mmoja wa wasanii wanaofanya vizuri katika filamu za Tanzania.
Filamu hiyo itainmgia sokoni hivi karibuni.

No comments:

Post a Comment