INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, July 28, 2016

Gabo Aishauri Serikali Kuhusu Sanaa Na Kilimo.

Msanii Salim Ahmed alimaarufu kama ‘Gabo Zigamba’ ameishauri serikali ya awamu ya tano kutolea macho kwenye sekta ya kilimo Tanzania pamoja na vipaji na kusema kuwa hivyo ndivyo vyanzo vizuri vya mapato.

Gabo Zigamba ametumia ukurasa wake wa Instgram kutoa ujumbe huo kwa serikali na kuiomba serikali ya awamu ya tano iweze kutilia mkazo katika mambo hayo kwani yamekuwa ndiyo chanzo kizuri cha mapoto.
“Mkulima na mtu mwenye kipaji ndiyo chanzo cha mapato ‘Please my Government’ tupieni macho hapo.” alisisitiza Gabo Zigamba
Mbali na hilo Gabo Zigamba amedai kuwa malengo pekee hayaweze kusafisha njia na kufikia mafanikio ya kila jambo unalotaka kulifanya bali ni juhudi binafsi za mtu ndizo zinaweza kumfikisha mtu sehemu, kwa kutolea mfano yeye mwenyewe.
“Lengo halisafishi njia ila juhudi zangu binafsi na msaada wa Mungu wangu umenifkisha mimi hapa nilipo leo lakini hakuna anaejali, bali wapo watu wanao ifaid thamani yangu” alisema Gabo.
 eatv,tv

No comments:

Post a Comment