INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, July 14, 2016

Shilole Ampata Mrithi Wa Nuh Mziwanda.

STAA anayebeba fani mbili kwa mpigo, Zuwena Mohamed ‘Shilole’, juzikati alimwanika bwana’ake mpya huku akijinadi kuwa ndiye mrithi halali wa aliyekuwa mpenzi wake wa kitambo, Naftari Mlawa ‘Nuh Mziwanda’

Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni baada ya kubambwa kwenye Ukumbi wa King Solomon uliopo Namanga jijini Dar es Salaam ilipokuwa ikifanyika Shoo ya Black Tie, Shilole alisema ameamua kubadili upepo na kuachana na mapenzi ya vijanahivyo ameangukia kwa mwanaume huyo ambaye ni mtu wa rika lake.
“Kusema kweli leo sitaki hata kupaparika maana nimekuja na mheshimiwa hivyo sitaki tena kuonekana kama mtoto mdogo humu ukumbini, angalia hata meza niliyokaa utagundua kuwa hapa ishu zote ni za kiutu uzima, siwezi tena kupaparika, ifikie muda tuheshimiane kwani njia pekee ya kujiheshimu ni kutoka na watu wenye msimamo wao nawatu wazima kama huyu.

“Sipendi sana kumuelezea huyu mtu wala kumtambulisha kwa jamii kwani siyo vyema sana na hata ukiangalia jinsi tulivyokaa utagundua hatutaki kujionesha kwa watu, sitaki tena ishu za kuhangaika na watoto wadogo wasiojielewa kama huko nyuma nilivyokuwa nikihangaika,” alisema Shilole huku akigoma kumtaja jina mwanaume huyo na kusisitiza kuwa ndiye mwandani wake wa sasa.watu wazima kama huyu.
“Sipendi sana kumuelezea huyu mtu wala kumtambulisha kwa jamii kwani siyo vyema sana na hata ukiangalia jinsi tulivyokaa utagundua hatutaki kujionesha kwa watu, sitaki tena ishu za kuhangaika na watoto wadogo wasiojielewa kama huko nyuma nilivyokuwa nikihangaika,” alisema Shilole huku akigoma kumtaja jina mwanaume huyo na kusisitiza kuwa ndiye mwandani wake wa sasa.
Chanzo:GPL

No comments:

Post a Comment