INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Saturday, July 9, 2016

Mr.Blue Aikubali Couple Ya Diamond Na Zari.

Mr Blue amesema Diamond na Zari ndiyo couple anayoikubali zaidi.
“Ukinitoa mimi na Wahyda couple ambayo naipenda, naielewa ni Zari na Diamond,” Blue alikiambia kipindi cha The Playlist cha Times FM.
“Yaani wanapendeza unajua eeh, na Mungu amewajaalia wamepata mtoto, wanashirikiana kama marafiki kwenye biashara, wanajua kucheza na akili za raia, wanaitengeneza couple yao ya kimapenzi, wanaifanya pia inakuwa kibiashara, yaani very nice,” aliongeza.

Kwa upande mwingine Blue amesema hana kabisa bifu na Diamond.
“Sina bifu na Diamond na juzi tumekutana naye Mwanza kwenye show ya Ne-Yo alivyokuja, tumeongea vizuri, tumesalimiana, safi kabisa.”

No comments:

Post a Comment