Mapema asubuhi ya leo kupitia account yake ya Instagram mwanadada Wema alitupia picha ya gazeti hilo lililo mchafulia jina kwa kumuandika kuwa "Wema Kunyongwa China Awaomba Watanzania Wamuombee".Pia dakika chache zilizopita kupitia account yake hiyohiyo ya Instagram wema amefunguka zaidi kwa kitendo hicho cha kuchafuliwa jina na kuandika hivi ...

Habari inatoka: Vituko Vya Mtaa
Read more: http://vitukovyamtaa.blogspot.com/2013/10/kauli-ya-wema-seoetu-baada-ya-kuandikwa.html#ixzz2gUGd7o5B
No comments:
Post a Comment