INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, October 1, 2013

KAULI YA WEMA SEPETU BAADA YA KUANDIKWA KWENYE GAZETI "WEMA KUNYONGWA CHINA AWAOMBA WATANZANIA WAMUOMBEE"


C.E.O wa kampuni ya Endless Fame Film maarufu kma Wema Sepetu ameonekana kuchukizwa na kitendo cha kuchafuliwa kwa jina lake katika moja ya magazeti ya udaku ya hapa nchini.
Mapema asubuhi ya leo kupitia account yake ya Instagram mwanadada Wema alitupia picha ya gazeti hilo lililo mchafulia jina kwa kumuandika kuwa "Wema Kunyongwa China Awaomba Watanzania Wamuombee".Pia dakika chache zilizopita kupitia account yake hiyohiyo ya Instagram wema amefunguka zaidi kwa kitendo hicho cha kuchafuliwa jina na kuandika hivi ...


Habari inatoka: Vituko Vya Mtaa

Read more: http://vitukovyamtaa.blogspot.com/2013/10/kauli-ya-wema-seoetu-baada-ya-kuandikwa.html#ixzz2gUGd7o5B

No comments:

Post a Comment