INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, September 18, 2012

BELLA:'NICHEZEWA NYWELE NA LUTEN KALAMA NAKUA TAABANI'


MISS Ruvuma 2006/07 ambaye anasukuma maisha town kupitia uigizaji na muziki wa Bongo Fleva, Isabela Mpanda ‘Bella’ ameifungukia Hot 2 Hot kuwa mwanaume wake anapomchezea nywele na maeneo nyeti na kifuani huwa habari yake inakwisha kabisa na kujikuta hoi bin taabani.
Bella anayewakilisha Kundi la Bongo Fleva la Scorpion Girls alitiririka kuwa anapokuwa kwenye sita kwa sita huwa hana ujanja pale mpenzi wake, mwanamuziki Kalama Masoud ‘Luten’ anapomchezea nywele kichwani na ‘chakula ya mtoto’ kifuani.
“Sijui huwa najisikiaje lakini nashangaa tu mizuka inanipanda, inakuwa… kaazi kwelikweli!,” alifunguka Bella.
Kuhusu kuhusishwa na skendo za kutoka na wanaume tofauti, Bella alichomoa na kudai kuwa kazi yake ya sanaa ndiyo inayomkutanisha na wadau tofauti na si kila mwanaume atakayetajwa then anavunja naye amri ya sita.

No comments:

Post a Comment