INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Sunday, September 2, 2012

DUDE AKANA KUONEKANA KWA MGANGA TANGA


Kulwa Kikumba ‘Dude’.

STAA wa filamu za Bongo, Kulwa Kikumba ‘Dude’, hivi karibuni alionekana kwa mganga, Pangani Tanga ambako inadaiwa alikwenda kwa ajili ya kurejesha mali zake zilizoibwa.
Dude alipotafutwa kwa njia ya simu na kupatikana alikuwa na haya ya kusema:
 “Mh! Nyie ni wambeya sana, mimi nimekuja Tanga kwa shughuli zangu za kikazi, hayo mengine ni kama ziada tu.”

No comments:

Post a Comment