INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, September 10, 2012

HEMED AND GELLY WA RHYMES NDANI YA TWO IDIOT


No doubt Comedy  is nowadays doing good here in Tanzania.
Kufuatia hili singer wa “Ninachotaka“, “Alcohol” ambaye pia signs zake ziko kwenye movies za “Green Light” na “Crazy Love” is read to team up with Gelly wa Rhymes to do  comedy.
Hemedy Suleiman aka Pretty Huge Dude, ambaye ni movie star ataungana na Gelly whose real name is George ambaye ni hit maker wa nyimbo za “Kikuku“, “I Love You” na “Barafu wa Moyo Wangu” kuingia location kwa ajili ya ku-shoot a their first romantic comedy movie to be called “Two Idiots“.
Ni kweli mimi na PHD tuko tayari kufanya movie ya comedy ambayo roughly ita-cost seven million kuitengeneza chini ya E Media Company“- Gelly wa Rhymes told BK.
 Hemedy alipoulizwa utofauti wa movie hiyo yao ya comedy na comedy nyingine zilizopo hapa nchini this is what he said, “Wengi wamekuwa wakidhani kuwa comedy ni kukunya sura na kuanza kuigiza, but sisi tutatupia romantic issues na bado watu wacheke bila kulazimishwa“.
Project hii haitaishia hapa kwani baada ya Two Idiots tuna mipango ya kuanza kuvuka borders na kwenda kutafuta comedians wa kimataifa ili kuipeleka sector hii anga a mbele zaidi“-Hemedy.

No comments:

Post a Comment