INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, September 18, 2012

ROSE NDAUKA:'FILAMU ZA KIBONGO HAZIPENDWI KIMATAIFA'


 
Rose Donatus Ndauka.

SURA ya mauzo katika sinema za Kibongo, Rose Donatus Ndauka amekiri kwenye Bongowood kuwa filamu nyingi za Kibongo hazipenyi kwenye soko la kimataifa kutokana na ukweli kwamba waigizaji wengi hawana elimu ya sanaa hiyo hivyo ni ziro kabisa.
Rose alisema kwa upande wake analitambua hilo ndiyo maana yupo kwenye hatua za mwisho za kujiunga na chuo cha sanaa ambacho hakukitaja ili kuongeza elimu katika sanaa hiyo.

No comments:

Post a Comment