INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, September 18, 2012

SHILOLE AHOFIA KUPORWA BWANA NA MASHOSTI ZAKE

STAA wa filamu na muziki wa mduara, Zuwena Mohamed ‘Shilole’ ameiambia Bongowood kuwa anaogopa kumtambulisha kwa mashosti zake bwana’ke aliyenaye kwa sasa akihofia kuporwa.
Shilole anayedaiwa kunasa kwenye penzi la mtangazaji (jina tunalo), alisema kuwa anaogopa kumweka hadharani kwani kuna baadhi ya wasichana wa mjini wakishamjua mwanaume wa mtu, huwa wanamnyemelea na kumnasa kirahisi, jambo ambalo hataki limtokee.

No comments:

Post a Comment