INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, March 2, 2015

KOLETHA: TUHONGWE KWA MALENGO!

Mayasa Mariwata/ijumaawikienda
MSANII wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koletha’ amewataka mastaa wa kike kuzitumia vizuri fedha wanazohongwa na vigogo kwa kuwekeza kwenye miradi ili ziwanufaishe.

Msanii wa sinema za Kibongo, Coletha Raymond ‘Koletha’.

Koletha alisema suala la wasanii wengi wa kike kuishi kwa kutegemea wanaume wakware lipo wazi kabisa, isipokuwa wengi wao wanajisahau kwa kuzitumia hovyo kwa starehe badala ya kuwekeza kwenye miradi. “Wasanii wengi wanategemea kuhongwa lakini wawe makini na hao wanaowahonga, kama ni gari wapewe kadi na chochote kile kiwe na uthibitisho ili mwisho wa siku wasiumbuke na kuchekwa lakini cha muhimu zaidi ni kuwekeza kwa maisha ya baadaye maana wengi wanaishia kujivunia nyumba za kifahari za kupanga wakati uwezo wa kujenga upo,” alisema Koletha.

No comments:

Post a Comment