INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, March 2, 2015

LADY NAA AANIKA SIRI YA KUMPENDA ZARI



Mtangazaji Lady Naa.

Hamida Hassan/ijumaawikienda
KUMBE! Aliyekuwa shemeji wa Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ wakati ikisemekana anatoka na mtoto wa mbunge, Najma, Mtangazaji Lady Naa ameanika siri juu ya ukaribu wake na mpenzi wa sasa wa Diamond, Zarinah Hassan ‘Zari’ kuwa usitafsiriwe kuwa ni usaliti kwani ndiye anayeshikilia usukani kwa sasa.

Lady Naa ameliambia Ijumaa Wikienda kuwa anampenda Zari na haoni sababu ya kumchukia wakati amekuta uhusiano wa mdogo wake (Najma) na Diamond umeshavunjika. “Namkubali Zari kwa sababu nyingi tu, kwanza amemkuta Diamond hana mwanamke kwani hata kwa Najma alikuwa ameshapita, pia ni mwanamke mwenye akili,” alisema Lady Naa.

No comments:

Post a Comment