INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, March 17, 2015

TEAM ODAMA 4 LIFE YAFANA NDANI YA HOTEL YA THE ATRIUMS SINZA AFRIKASANA -DAR

Siku ya Jumapili 15/03/2015 Mkurugenzi wa J-Filmaliweza kukaa na Team Odama 4 Life na kuweza kuwapongeza kwa kazi waliyofanya ya kuitangaza filamu mpya ya JADA, ambayo kwa hakika inafanya vizuri sana katika ulimwengu wa filamu Tanzania. Kwa muda mfupi JADA imepokelewa na watu wengi, na hii ni kutokana na juhudi za timu ya Odama ambayo imeamua kumuunga mwigizaji huyu ambaye aekubalika na jamii ya Kitanzania kwa kutokuwa na skendo na ni mwigizaji anayeigiza vizuri sana.

Odama aliweza kutoa Tshirts zilizotengezwa na Rumafrica (+266 715 851 523) zente ujumbe TEAM ODAMA 4 LIFE, na pia waliza kukaa kwa pamoja kwa upendo na kuweza kunywa na kula. Baada ya kumaliza zoezi la chakula na vinywaji kilifuata kipindi cha wadau hawa kutoa hisia zao kwa mkurugenzi wao Odama na kumuuliza baadhi ya maswali. Odama aliweza kuyajibu maswali yote na kuweza kuwashukuru Teama Odama 4 Life kwa kazi yao nzuri na pia aliwashukuru wadau wote ambao waliweza kujua mengi kwa kupitia Team Odama 4 Life au kwa njia yoyote ile kama TV, redio, magazeti, mitandao mbalimbali

Rulea Sanga (kushoto) na Jeniffer Kyaka (Odama)
Hii ndiyo Team Odama 4 Life
Team Odama 4 Life

KPINDI CHA KUPATA CHAKULIA
 Rulea Sanga (kushoto)
Odama
  Rulea Sanga (kushoto)
  Rulea Sanga (kushoto)





 Issa








 KIPINDI CHA KUJADILI MASWALA YA TEAM ODAMA 4 LIFE
 Odama na Issa


















 Rulea Sanga(wa pili kutoka kushoto) akichangia maada katika kikao cha Team Odama 4 Life
  Rulea Sanga(wa pili kutoka kushoto) akichangia maada katika kikao cha Team Odama 4 Life
  Rulea Sanga(wa pili kutoka kulia) akichangia maada katika kikao cha Team Odama 4 Life


  Rulea Sanga(wa pili kutoka kulia) akichangia maada katika kikao cha Team Odama 4 Life
 Odama na Issa (kulia)
 Odama na Issa (kulia)
















































No comments:

Post a Comment