INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Monday, October 12, 2015

Kayumba Ajinyakulia Mil.60 Za Bongo Star Search.

Shindano la kusaka vipaji vya waimbaji wa kizazi kipya maarufu kama Bongo Star Search limemalizika huko kijana mdogo toka Temeke Kayumba Juma akijinyakulia zawadi ya kitita cha Tsh.Mil.60. Shindano hilo lilikuwa na ushindani mkali akiwemo Naseeb Fonabo toka Arusha aliyeshika nafasi ya pili ambapo yeye na Kayumba walionyesha uwezo mkubwa tangu awali.

No comments:

Post a Comment