INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, October 22, 2015

King Majuto Hafanyi Tena Filamu Za Aina Hii Baada Ya Kutoka Hijja.

Muigizaji na mchekeshaji maarufu nchini, Alhaj Athumani King Majuto, amesema baada ya kwenda kuhiji Mecca, atakuwa hafanyi tena filamu ambazo ndani yake kutakuwa na matendo ya kumchukiza Mungu.
“Sasa hivi filamu kama za kunywa pombe au kuna matukio ya kumchukiza Mungu siwezi kufanya,” Majuto ameiambia Bongo5.
“Lakini ambazo zitakuwa hazima matukio kama hayo nitaendelea kufanya. Mimi sasa hivi ni Alhaj, natakiwa kuwa mfano kwa kumcha Mwenyezi Mungu pamoja na kuwafundisha watu kufanya mambo mema,” ameongeza.
Chanzo: Bongo 5

No comments:

Post a Comment