INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, October 20, 2015

Rayuu Asema Maisha Yake Mitandaoni Ni Tofauti Na Nyumbani.

Mrembo anayetikisa kiwanda cha filamu nchini, Rahma Rayuu ‘Rayuu’ amesema maisha yake halisi na maisha anayoonyesha kwenye mitandao ya kijamii ni tofauti hivyo watu wanaodhani ndivyo alivyo wanakosea.

Akichonga na Swaggaz, Rayuu alisema kuwa amezoea kuweka mitandaoni picha zinazoonyesha mwili wake lakini kiuhalisia ni mtu mwenye maadili ambaye akiwa nyumbani huvalia hadi ushungi kujisitiri.
“Kwetu ni familia ya dini na nimekuwa kwenye mazingira hayo, kule kwenye mitandao ni mazoea tu yananifanya niweke picha kama zile… mimi ni binti mwenye maadili mema,” alisema Rayuu.
Hivi mmemuelewa lakini? Dizaini kama haeleweki vile.
Mtanzania

No comments:

Post a Comment