INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Sunday, September 27, 2015

Lowasa Anajua Njaa Zetu Wasanii Akiingia Madarakani Hawezi Kutusahau: Wolper


"Naamini hata kama UKAWA ikachukua nchi kwa navyomuona Baba Lowasa ana moyo wa imani na anaijua dini kwahiyo wewe shabiki wangu uliandika maneno haya ambayo yamenigusa nakuhakikishia kwamba Mh Lowasa ndiyo Rais nahatofanya lolote baya kwa wasanii wanaomtukana kwani pia yeye naamini anajua njaa zetu na pia anajua maneno wanafundishwa kutokana na panic zao,  maana watanzania wengi wamesanuka yani kwakifupi awajashituka wamesanuka kila mtu anataka mabadiliko na mabadiliko lazima yafanyike..Kwahyo usijali wala usiwaze nitabaki kuwa mtetezi wamaskini wenzangu paka dakika ya mwisho.

Naomba tena nirudie nanitengue kauli ukawa ikiingia madarakani aitomuonea msanii aliyedanganyika kwenda CCM kamwe itakua niwakati wawao kujutia nakutubu Ameni..." Wolper alimjibu shabiki mmoja aliyecomment kama Lowasa akiingia madarakani anaweza kuwabagua wasanii waliotimkia CCM

No comments:

Post a Comment