INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Wednesday, September 2, 2015

Ningetaka Kuzaa Mtoto Mweupe Ningezaa Na Mzungu: Aunty Ezekiel

MSANII wa Bongo Movie anayetambulika kwa jina la Aunty Ezekiel amewajia juu mashabiki wake wanaomuongelea vibaya mtoto aliyezaa na mnenguaji wa Diamond Platnumz, Mozee Iyobo.

Aunty Ezekiel aliandika katika mtandao wa jamii kwamba amesikitishwa na namna baadhi ya mashabiki wake wanavyong’ang’ania aweke picha ya mtoto wake anayetambulika kwa jina la Cookie.
“Kuweka uso wa mwanangu mtandaoni ni hiari yangu, msilazimishe, mwanangu ni mweusi sana au ana chongo siwezi kumuanika hadharani, mimi ndiye najua utamu na uchungu wake, ningetaka kuzaa mtoto mweupe ningezaa na mzungu,’’ aliandika Aunty Ezekiel.
Mtanzania

No comments:

Post a Comment