INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Saturday, December 5, 2015

Filamu Ya Going Bongo Kuanza Kuonyeshwa Katika Majumba Ya Sinema Nchini Wiki Ijayo.

Filamu ya Kitanzania na ya kimataifa Going Bongo inatarajiwa kuanza kuonyeshwa rasmi kwenye majumba ya sinema nchi kuanzia tarehe 11 mwezi huu wa December. Filamu hiyo iliyochezwa na Ernest Napoleon, Mzee Chilo na wasanii wengine wa kizungu toka mataifa mengine tayari imeshajizolea tuzo katika matamasha kadhaa ya kimataifa na ilianza kuuzwa exclusively katika iTune.

No comments:

Post a Comment