INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, December 8, 2015

Quick Racka Akiri Kuwa Katika Penzi Na Kajala

Msanii wa BongoFlava Quick Racka amekiri kuwa na uhusiano na Kajala Masanja licha ya huko nyuma wote kutokuwa tayari kuzungumzia uvumi huo ambao ulichukuwa headline za magazeti. Hata hivyo akizungumza na Clouds Fm Quick Racka aliulizwa kama swali flani la kimitego hivi kuwa ni kweli wameachana na Kajala na ndipo alipojibu kuwa bado wapo pamoja ila hawapendi maisha yao binafsi kuwa katika magazeti kila siku. Quick Racka pia anadaiwa kuwa na tatto yenye jina la Kajala.

No comments:

Post a Comment