INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, December 22, 2015

Wasanii Wajitokeza Kugombea Nafasi Za Uongozi.

MCHUANO mkali katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya mwenyekiti wa chama cha waigizaji Taifa (TDFAA) huku wasanii wenye ushawishi kwa wasanii wenzao wakijitokeza kuchukua fomu za kugombea nafasi hiyo anasema katibu Twiza.
Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .
Jimmy Mafufu akichukua fomu ya kugombea kutoka kwa katibu wa TDFAA Twiza Mbarouk .
“Mchuano ni mkali kila mhusika amepanga kuwa ni mshindi katika kinyang’anyiro cha kugombea nafasi ya uenyekiti Kitaifa kwa chama cha Waigizaji, hadi sasa ni zaidi ya wasanii wane wameshachukua fomu za kugombea,”anasema Twiza.

Moja kati ya wasanii waliojitokeza kuchukua fomu ni pamoja na Mwenyekiti wa chama cha Waigizaji Temeke Fredy Sumari ‘Dile’, Jimmy Mafufu, Eliya Mjata ‘Davi’, Michael Sangu ‘Mike Sangu’ na Salum Chilwa huku kwa upande wa Makamu mwenyekiti akiwa ni mtu mmoja tu ambaye ni Lumole Matovulwa ‘Biggie’
FC

No comments:

Post a Comment