INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, October 11, 2012

DUDE ALIZWA NA HAUSIGELI

                                    Kulwa Kikumba ‘Dude’.

KIDUME kwenye Bongo Movies, Kulwa Kikumba ‘Dude’ amefanyiwa kitu mbaya na hausigeli baada ya kumtelekeza mtoto wa staa huyo na kumliza vitu vya ndani kisha kutokomea kusikojulikana.
Huku Dude akiwa shooting, Bongowood imeinyaka kuwa, juzikati msaidizi huyo wa ndani  alimwacha mtoto na ‘kuchikichia’ na fedha Sh. laki moja na nusu na vitu vingine vya waifu wa jamaa kama hereni, vipodozi na pafyumu, jambo ambalo jamaa huyo alithibitisha kumtokea.

No comments:

Post a Comment