INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, October 11, 2012

UWOYA AKIMBILIA NCHINI USWIZI

 
Irene Uwoya.

TAARIFA zilizotua kwenye meza ya Bongowood zinadai kuwa, Irene Uwoya amekimbilia nchini Uswisi ambako amekwenda kucheki mchongo wa kucheza muvi akitokea pande za Msumbiji alikokwenda akiongozana na mwigizaji Juma Chikoka baada ya kupata shavu la kutengeneza matangazo ya biashara.
Baada ya kunyaka mchongo huo, Bongowood ilimsaka Chikoka ambaye alikiri Uwoya kutimkia Uswisi kwa dili la kucheza filamu.

No comments:

Post a Comment