INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, October 11, 2012

MONALISA AGEUKIA UJASILIMIA MALI

                               Yvonne-Cheryl Ngatikwa ‘Monalisa’.
STAA wa filamu za Kibongo, Yvonne-Cheryl Ngatikwa ‘Monalisa’, baada ya kujikita kwenye filamu kwa muda mrefu, sasa amegeukia ujasiriamali ambapo amefungua duka la nguo la kisasa ‘boutique’ maeneo ya Kinondoni Meridian, Dar.
 Mona aliiambia Bongowood: “Unajua mimi nina familia, nina mahitaji mbalimbali hivyo siwezi kutegemea filamu tu ambazo napata fedha kwa kuwekeza fedha nyingi, nimeona nijaribu na biashara hii ili nipate kipato  halali.”

No comments:

Post a Comment