INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Saturday, May 5, 2012

HAPPY BIRTHDAY YA MAMA LOLAA 
NYUMBANI KWAKE MBEZI

 Usiku wa kuamkia leo maeneo ya mbezi kulikuwa na bonge la party ya kusherehekea siku ya kuzaliwa ya Mama Lolaa.Sherehe hiyo ya kuzaliwa ya Mama Lolaa ilihudhuriwa na Wasanii wa Bongo Movie.Ukiachana na Wasanii wa Bongo Movie,Marafiki na ndugu na Wazazi wa Familia ya Lolaa walikuwepo katika sherehe hiyo.Bila kusahau Bendi ya Muziki ya Shengen Academy iliporomosha burudani kali.Hakika sherehe ilipendeza sana na waaalikwa walipendeza sana.


 Mama Lolaa akipiga Cheeers juu na warembo  


       
 








Mr Lolaa Masai akimlisha keki mke wake kumtakia happy birthday


 Mama nae akirudisha mashambulizi kwa Baba


 JB na wema wakifungua shampagne


 Kulikuwa na Red Carpet


 Mama Lolaa akirudishwa kukaa na warembo


 Nyie mnatetea nini hapa


 Cloud12 akiwa katika pozi na Wema


 Nikiwa na Rachel tumekula pozi


 Wolper na Sandra


 Baby Madaha na Mama Lolaa


 Hartman na mabinti


 Mambo ya pozi hayo


 Ray Kigosi na Nyerere the power


 Ray na Wolper


 Cheni na Wema


 Jimmy Captain,Choa na Tinno


 Wazee wa Shengen wakiwajibika


 Ulifika ule muda wa mambo yetu maakuli


 Mainda smally baby akiwa kwenye menu


 Tukiwa katika foleni ya msosi


 Bonge la bwana katika Foleni ya menu


 Mhhhhhhhh kuna umbea hapa


 Odamaone katika mambo haya sitaki mchezo


 Muda wa menu


 Kipindi muhimu hiki bwana hakuna maneno


 Rachel akipata msosi


 Davina utamaliza chote hiko


 Wasanii wa Bongo Movie wakipiga picha na Familia ya Lolaa


Hakika shughuli ilikuwa nzuri sana na ilipendeza,Hongera Mama Lolaa nakutakia maisha marefu,Nasema HAPPY BIRTHDAY
 Mdau mkubwa sana wa Bongo Movie Club Mama Loraa alifanya party ya nguvu ndani ya mjengo wake uliopo maeneo ya Mbezi Tang Bovu, Birthday hiyo ya Mama Loraa iliudhuriwa na mastaa kibao wa hapa Tanzania twende mwenyewe ukajionee

 Davina na Wema wakiwa wamewasili katika sherehe hiyo

Wema na Cloud

 Mahsein Hawazi (Dr.Cheni) akiwa amepiga suti matata sana umependeza kaka

 Jack Wolper niliipenda sana hili vazi lake ni hatari sana aliniambia kanunua dola alfu mbili

Mwenyekiti wa Bongo Movie (JB) akiwa na Hatman Mbilinyi wa katikati na wa Wema Sepetu wakifuraia sherehe hiyo.


 Mama Loraa mwenyewe ndiyo huyo hapo wa katikati mama ongera san kutimiza miaka kapuni hata mimi mwenyewe sijui

 Mama Loraa akiwa kwenye red capet kwa ajili ya kuwakalibisha wageni waalikwa na kupiga nao picha.

 Jenifer Kiyaka (Odama).

 Shilole na Irene Uwoya.

 Mc. Chiki Mchoma

 Muda wa kufungua Shampeni ulifika Jb na Wema ndio waliotufungulia shampeni hizo

 Mainda.

Muda wa keki nao ukafika

 Mr na Mrs Loraa na Baby Madaha(wa  kulia).

 Zoezi la kulishana keki liliaza Mume wa Mama Loraa akimlisha keki mke wake

 Mama Loraa

 Uwoya na Wema wakiteta jambo.

Single  Mtambalike.

 Steve Mengele (The Power).



 Party ikiendelea.

 The Greatest(Ray).

 The Greatest nikiwa na Baadhi ya wanachama wenzangu wa Bongo Movie.

 Msosi time Loraa alifungua njia ya kwenda kuchukua chakula

Shilole utamaliza msosi huo

 Mtitu na mkewe mtarajiwa

 JB na Dr.Cheni wakipata msosi wa nguvu hiki ni kipenfele muhimu sana kwa ndugu yangu Jb

 Baada ya matukio yote watu walikunywa,walicheza na kufurahi kwa pamoja. 

No comments:

Post a Comment