INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Thursday, May 10, 2012




PESA YA KUMCHANGIA KWAAJILI YA MATIBABU SAJUKI YAPATIKANA LAKINI HAITOSHI-WASTARA ASEMA

Wastara ambae ni Mke wa Sajuki, akiamplfy kwenye AMPLIFAYA ya CLOUDS FM, amesema imefikia hatua ambayo ni nzuri na wanaweza kuondoka kwenda India japo pesa haijafikia yote.
Pesa iliyokua inatakiwa ni milioni 25 lakini iliyopatikana ni milioni 16 lakini tayari itawawezesha kusafiri kwenda India jumapili au jumatatu ijayo kwa sababu pesa nyingine bado zinaendelea kukusanywa.
Wataondoka yeye, Sajuki pamoja na kaka wa Sajuki na watakaa India kwa wiki mbili lakini kama kutakua na mabadiliko yeyote atasema na millardayo.com
Mwishoni mwa wiki iliyopita Wastara alithibitisha kuibiwa zaidi ya laki nane kwenye account ya pesa ya simu yake ya mkononi baada ya wajanja wa teknolojia kuzuia pesa zilizokua zinatumwa na watanzania kwenye simu yake, na walifanikiwa pia kuiba pesa zilizokuwemo kwenye account ya Wastara. chanzo-millard ayo

No comments:

Post a Comment