INSIDE INAPATIKANA MADUKANI

FILAMU YA JADA ITAKUWA SOKONI 19.02.2015

JADA IPO SOKONI

JADA IPO SOKONI

Tuesday, May 1, 2012

MASHUJAA YATAMBULISHA WANAUMUZIKI WAKE WAPYA

 Bendi ya Mashujaa band ambayo kwa sasa ni kama timu ya man city imewatambulisha wanamuziki wake wapya wawili kutoka Extra Bongo na African Stars twanga pepeta,wanamuziki hao ni Rapa Saulo John Ferguson na Mcd.Hakika utambulisho huo ulikuwa mzuri sana ukizingatia kwa sasa rapa ferguson ndio anatisha kwa rap nzuri za kiswahili.

 Mpiga Tumba MCD akiwajibika kazini

Kazi ikiendelea

No comments:

Post a Comment